Alhamisi, 26 Juni 2014
UNAFIKIRI NI RAHISI KUMFIKIA HUYU?
JIFUNZE KUBEMBELEZA ILI MPENZI WAKO AJUE THAMANI YAKO
1. ONGEA KWA HISIA KWA KUTAMBUA MWENZA WAKO ANAUCHUNGU NA WEWE NA NDIYO MAANA AMEKOSA AMANI.
2.MPE MUDA WA YEYE KUONGEA YALIYO KATIKA MOYO WAKE JUU YAKO NA USIPINGE HATA MOJA KWA KUFANYA HIVYO UTAPUNGUZA HASIRA ZAKE.
3. PATA NAFASI YA KUMUIMBIA KAMA UNAUWEZO WA KUIMBA LAKINI KAMA UWEZI JARIBU KUATAFUTA WIMBO AMBAO YEYE ANAUPENDA NA UMUWEKEE KATIKA CD ASIKILIZE.
4. MKUMBUSHE KILICHOWAUNGANISHA NA MSAULISHE KINACHOTAKA KUWATENGANISHA.
5. MTIE MOYO KWA KUMUELEZA KUWA WEWE PEKEE NI CHAGUO LAKE NA MAKOSA NI SEHEMU YA MAISHA.
JE UNAIFIKIRIA SIKU YA HARUSI YAKO UNAFIKIRI NINI UKIKIKUMBUKA SIKU HIYO KITAKULIZA?
BAADHI YA WATU UWA NA MAWAZO MENGI AMBAYO UWAPUNGUZA MWILI PINDI WAKUMBUKAPO SIKU ILE MBAYO WATAKUWA WAKIFUNGA PINGU YA MAISHA.TAFITI ZINAONESHA WENGI WAO UWA NA MSONGAMANO WA MAWAZO KUTOKANA KUJIULIZA NI VIPI WANAWEZA KUWAACHA WATU WAO WA MWANZO, PIA TAFITI HII INASEMA PIA BAADHI YA WATU UFUNGA PINGU YA MAISHA NA WATU AMBAO HAWAJAWACHAGUA KUTOKA KATIKA MOYO LAKINI KUTOKANA TU NA UGUMU WA MAISHA WANAJIKUTA WAKIINGIA HUKO KANA KWAMBA NI NJIA YA KUJIKWAMUA KIMAISHA.
SASA BASI KUTOKANA NA HARI HIYO NDIYO MAANA UNAKUTA WENGINE WANALIA SANA UKUMBINI SIKU YENYEWE YA HARUSI, WENGI WETU TUKIONA HARI HIYO TUNAJIFARIJI NA KUSEMA ETI WANALIA KWA FURAHA LAKINI UKWELI NI KWAMBA FURAHA MWENZAKE NI TABASAMU HIVYO KINACHOWALIZA PALE NI JINSI WANAVYOKUMBUKA HAADI ZAO ZA UONGO WALIZOTOA KWA WAPENZI WAO WA UKWELI SO TAKE CARE UTAPOTEA..SIO KILA KILIO KINAASHIRIA FURAHA KINGINE NDO HIVYO NI CHA MAJUTO KUTOKANA NA DHAMBI ALIYOTENDA SI UNAMKUMBUKA PETRO ALIPO MKANA YESU MARA TATU NAE BAADA YA KUKUKMBUKA MANENO YA YESU ALIANZA KULIA HIVYO NDIVYO ILIVYO.
WENGINE UPUNGUA MWILI KABISA SASA UWA NAJIULIZA KAMA SHEREHE NI FURAHA KWANINI MTU AWAZE NA KUFIKIA HATUA YA KUPUNGUA MWILI ULE NI UOGA JUU YA WALE AMBAO UMEWAIDIA KUWA NAO SASA UNAJIULIZA SIJUI ITAKUAJE SIKU HIYO YA HARUSI YAKE IKIFIKA WAKIMUONA YUPO NA MWINGINE TOFAUTI NA WAO.......... JIULIZE UPO KUNDI GANI ILI UNENEPE UKITANGAZIWA HARUSI YAKO.
Mwanamke akipenda anapenda kweli hadanganyiki kama ilivyo kwa mwanaume
Ninamshukuru Mungu kwa kunipa afya njema na kuendelea kuniwezesha kundika katika blogger ya mahabati juu ya mahusiano ya kimapenzi.
Na imani nawe msomaji wa blogger hii umzima wa afya na sasa unaendelea na majukumu yako ya ujenzi wa mahusiano yako kwa ajili ya maisha marefu yenye Amani na Upendo wa dhati.
Ni ukweli usiyopingika kuwa mwanamke ni mtu mwenye upendo wa dhati ikilinganishwa na mwanaume ingawa wengi wao sasa wako kimasahi zaidi.
Mwanamke anapoamua kupenda anapenda kwa moyo wake wote na akili zake zote, na wakati wote hutumia kumfikiria Yule anayempenda.
Kwa kufanya vitu mbalimbali mfano kuwanunulia zawadi, za aina mbalimbali, wengi wao hupenda kuwanunulia nguo za ndani, viatu, saa ya ukutani, mkanda wa kiunoni wapenzi wao.
Yote hayo mwanamke anayafanya ili kuimarisha mahusiano zaidi na mpenzi wake, na kumwonyesha kuwa yeye ni wathamani ya juu zaidi kuliko mtu mwingine yoyote.
Wengi wanapofanya hivyo wanakuwa na matarajio tofauti, pengine kupokea zawadi kubwa zaidi kutoka kwa Yule anayempa zawadi, au shukrani za mara kwa mara mfano mke wangu unanifanya nionekane tofauti sana n.k.
Tofauti na hapo wengine wanaambulia patupu hivyo kukata taama ya kuendelea kumfanyia vitu vizuri, na wakati mwingine kujenga hisia za kutokuwa chaguo sahihi kwa mhusika.
Je wewe unampa mke wako zawadi au mume wako zawadi, au unaona ni utoto kupenda zawadi?
Kumbuka kila unachokifanya kina maana kubwa sana katika maisha ya mahusiano kiwe chama ama kibaya, na siku zote mahusiano yenye upendo wa dhati hayaimarishwi na mechi pekee yake.
Kuna mengi ya ziada endelea kufatilia blog hii specialist wa mahaba.
Jumatano, 25 Juni 2014
FAHAMU SURA YA MAPENZI YA DHATI IKO VIPI
HUU NI MFANO MZURI WA SURA AMBAYO MSICHANA ANATAKIWA KUWA NAYO KATIKA MAISHA YAKE YOTE YA MAHUSIANO YEYE NA MPENZI WAKE, WATAALAMU WA MASWALA YA MAHUSIANO WANASEMA SURA HISIYO NA TABASAMU UCHANGIA KUPUNGUZA UPENDO KATIKA MAISHA YA MAHUSIANO YA KIMAPENZI.
KATIKA HARI AMBAYO HAIELEZEKI UNAWEZA UKAMKUTA MSICHANA INAWEZEKANA KABISA KAUMBWA VYEMA NA MUNGU SURA NZURI, UMBO ZURI NA VINGINEVYO LAKINI TATIZO LINAKUJA TU PALE JINSI YA KUWEZA KUTUMIA KILE ALICHONACHO
NACHOONGEA HAPA NI KUHUSU TABASAMU AMBALO LINAWEZA KUMSHAWISHI MPENZI WAKO KUWA NA HUBA WA KUTOSHA KATIKA SAFARI YENU YA MAHUSIANO YA KIMAPENZI.
WENGI WAMEPOTEZA WATU WAO KWA KUKOSA MAARIFA KATIKA NYUSO ZAO HUSUSANI KWA DADA ZETU, SASA BASI NAWASIHI SANA HASA NINYI DADA ZETU KUWENI NA NYUSO ZA TABASAMU AMBAZO ZITACHOCHEA MAHABA KWA WAPENZI WENU
KWA MSAADA WA TABASAMU LA HUYO DADA HAPO JUU LITAKUSAIDIA KUBADILIKA KAMA ULIKUWA UNAJIFANYISHA SURA YAKO IWE KAMA NDIMU.
POLE ULIYEUMBWA VYEMA NA MUNGU LAKINI WEWE UKAJICHETUA NA KUTAKA KUFANANA NA NDIMU POLE SANA
LAKINI ONGERA WEWE AMBAYE WANAKUSEMA UNAKASORO LAKINI KILA KUKICHA WEWE NI TABASAMU TU KWA MWENZI WAKO ONGERA SANA KWAKUWA MAPENZI NI MTEREMKO KWAKO, ONGEZA BIDII........CHUKUA MFANO HAPO JUU.
MACHO HAYANA PAZIA NA MAPENZI HAYAPIMWI
HUYU NI LONE MAHELA YULE KIJANA ANAYEMILIKI PESA NYINGI NA KUMTHAMINI MPENZIE BILA KEJELI

KATIKA MAISHA YA SASA KUKUTA KIJANA KAMA HUYU AMBAYE ANAMILIKI MKWANJA WA KUTOSHA NA KUWA MSTARI WA MBELE KUMPENDA MPENZIE BILA MATESO YEYOTE NI NADRA SANA KATIKA WAKATI HUU TULIONAO.
VIJANA WENGI AMBAO WAMEPATA BAHATI YA KUWA NA MKWANJA WA KUTOSHA KATIKA MAISHA MAPEMA WAMEKUWA NI MWIBA MKUBWA KWA KUFANYA MATESO HASA KWA WAPENZI WAO AMBAO IMEJULIKANA KUWA WAO NDIO WALIOANZA NAO MAISHA YA KIMAPENZI LAKINI KWA KIJANA LONE MAHELA IMEKUWA TOFAUTI. SO KIJANA HUYU ANAFAA KUWA VIJANA WA KUIGWA KWA MWAKA 2014 KIJANA WA SHOKA....................SEE AGAIN NEXT TIME
Jumanne, 24 Juni 2014
UMEJERUHI MOYO WA MPENZI WAKO NA UNATAKA KUUTIBU?
USIDANGANYIKE
rafiki yangu, ukitaka kuwa bora katika jambo fulani lazima ukubali
kujifunza kila siku. Hata kama unajiamini kiasi gani, toa nafasi kwa
ubongo wako ili uweze kuingiza vitu vipya.Naam! Hapa kwenye All About Love ndiyo sehemu sahihi zaidi ya kuongeza ujuzi wa mambo ya saikolojia ya uhusiano. Ninao marafiki wengi sana ambao wamekuwa nami kwa muda mrefu sasa katika gazeti hili na lingine la Ijumaa ambayo kwa hakika yameendelea kuwa mwalimu wao kwenye uhusiano.
Hebu
sasa tabasamu, maana leo unakwenda kujifunza kitu kipya kabisa.
Hutakuwa kama ulivyo sasa mara baada ya kumaliza kusoma mada hii. Karibu
sana rafiki yangu.Katika mapenzi ni jambo la kawaida kabisa kugombana na kufikia hatua ya kutengana kwa muda. Naomba hapa niweke wazi kitu kimoja, nazungumzia zaidi kwenye uhusiano wa mapenzi, kabla ya ndoa. Nazungumza na wachumba zaidi.
Inawezekana kukawa kumetokea kutokuelewana baina yenu, mkaachana. Ukiwa nje ya uhusiano wako, ukagundua kwamba chanzo cha matatizo yote ni wewe. Inategemea umemfanyia nini? Labda umemtukana sana, umeharibu samani zake nk, lakini mwisho wa siku unagundua kwamba wewe ni chanzo cha matatizo hayo ya kutengana.
Kama kweli mna mapenzi ya dhati, mnaweza kukutana na kujadiliana pamoja, halafu mwisho wa siku mkajikuta mmeamua kurudiana. Hakuna makosa katika hilo.
Kinachowarudisha pamoja ni mapenzi ya dhati pekee na si kitu kingine chochote, lakini pamoja na penzi hilo, unatakiwa kufahamu kwamba mwenzako atakuwa na majeraha ndani ya moyo wake, atakuwa na vidonda ambavyo vinapaswa kuwekewa dawa ili apone kabisa!
Mwenye wajibu wa kumwekea dawa ni wewe mwenyewe! Kabla ya kufika huko, soma kwanza kipengele kinachofuata.
KUJERUHI NI KUPI HASA?
Maneno yako makali, tabia zako mbaya, vituko vya kila aina na hasara ulizomsababishia, zinaweza kuwa sababu ya kumjeruhi moyo wake. Majeraha pia yanaweza kusababishwa na jinsi usivyo msikivu kwake, wakati akiwa anaamini kwamba wewe ndiye mpenzi wa maisha yake yote.
Sawa, ameamua kurudiana na wewe, kwasababu anakupenda lakini bado anahisi kama utaendelea na matatizo yako ya zamani. Hakuamini. Anaona anaweza kuwa anatwanga maji kwenye kinu, ambapo ukweli ni kwamba mwishowe maji yote yatamwagika chini.
UTAJUAJE KAMA UMEMJERUHI?
Yapo mengi, lakini kwa uchache sana, atapunguza mahaba na wewe. Ninaposema mahaba sina maana ya ngono, namaanisha mambo ya kimapenzi – mahanjam - manjonjo.
Anakuwa mgumu kupokea simu yako, hata akipokea hazungumzi maneno ya kimahaba kama zamani. Ukimwambia: “I love you dear,” yeye anaweza kukujibu kwa kifupi: “Ahsante,” tofauti na zamani ambapo alikuwa akikujibu kwa mahaba mazito: “I love you too my sweetie.”
Meseji zako hajibu, hata kama akijibu, atakujibu kwa mkato sana. Anaonekana hana msisimko na wewe. Atakuwa mzito hata kuachia tabasamu akizunguza na wewe, hakuamini sana.
Hakufuatilii sana, mara nyingi anaonekana mwenye mawazo mengi akiwa na wewe. Hafurahii anapokuwa na wewe na hata uchangamfu wake unapungua.
Kikubwa hapo ni kwamba hana imani kama ni kweli umeamua kwa dhati kubadilika na kurudi kwake mzima-mzima! Moyo wake unaendelea kukiri ndani kwamba anakupenda, lakini anashindana na imani kwamba yawezekana usibadilike, anachohofia yeye ni wewe kurudia makosa yale yale!
Kama ukiona dalili zote hizo ujue wazi kwamba bado ana wasiwasi na wewe, moyo wake umejeruhiwa. Kufahamu ni hatua ya kwanza, nzuri na muhimu sana kwako, kwani angalau sasa utakuwa unajua upo kwenye uhusiano na mtu wa aina gani, huku ukiwa makini katika kutafuta suluhisho la tatizo lenyewe.
ONESHA UNAFAHAMU
Kitu cha kwanza kabisa unachotakiwa kufanya ni kuonesha kwamba umeshafahamu kwamba hakuamini na hana msisimko tena na wewe. Unatakiwa umfanye ajue kwamba unatambua kinachendelea, lakini unakiri kwamba ni haki yake kufanya hivyo, maana ni kweli kwamba mkosaji ulikuwa ni wewe.
ACHA KUMLAUMU...
Katika makosa makubwa ambayo hutakiwi kufanya ni pamoja na kumlaumu! Hutakiwi kabisa kumlaumu kwamba anakosea kufanya anavyofanya. Lakini kwa vitendo, unatakiwa kuanza kubadilika taratibu huku ukionesha kumhurumia kwa hali aliyokuwa nayo.
Bado kuna vipengele vingine muhimu sana kwako kuvifahamu wakati unapofanya jitihada za kumrudisha mpenzi wako katika hali yake ya kawaida. Kumbuka, wewe ndiye uliyeharibu, hivyo ni wajibu wako kutengeneza. Wiki ijayo tutaendelea, USIKOSE!
Jumatatu, 23 Juni 2014
Umeipata hii kutoka Kenya,kuhusu watoto wa kuanzia miaka 10 kupewa Condom??
Unaambiwa
kuna sheria mpya inatarajiwa kuwasilishwa katika bunge la Senet ambayo
sheria hiyo itawaruhusu watoto kuanzia miaka 10 kupewa mipira ya kondomu
na dawa za kupanga uzazi.Sheria ya afya ya uzazi 2014 ambayo tayari ipo mbele ya Senet,inasema kuwa elimu kwa watoto kuhusu afya ya uzazi na ngono wapewe watoto pengine hata bila ya wazazi kutoa idhini.
Sheria hiyo imewasilishwa na Seneta mteule Bi.Judith Sijeny anayesema kwenye pendekezo la mswada huo kua watoto wanaovunja ungo wapawe nafasi yakutosha kupata habari kamilifu kuhusu elimu ya ngono na huduma za kisiri.
Ikiwa ni pamoja na habari za kutosha na orodha ya dawa za kupanga uzazi na habari kuhusu ujauzito na uzazi wa mpango,muwada huo unaashiria kwamba wanaovunja ungo ni walio kati ya umri wa miaka 10 na 17 ambao ni wanafunzi kati ya darasa la tano na kidato cha tatu.
MAONI
Huyu ndiye msanii mwingine wa Bongo Fleva aliyeamua kufunga ndoa ya kimya kimya.
Anaweza
kuingia kwenye stori za siku tena kubwa na si ukubwa wa kuoa tu ni
ukubwa wa kufunga ndoa tena ikiwa ya kimya kimya bila baadhi ya mastar
wenzake kuhusika na harusi hiyo ambayo wengi wamesema ilikua kama ya
ghafla.Miaka kadhaa nyuma D.Knob aliwahi kufunga ndoa ya namna hii ambayo kwa maelezo yake alisema kuwa harusi yake hawakuzidi watu 15 kuanzia Kanisani mpaka sehemu waliyoamua kukaa na kupata vinywaji kadhaa.
Amini
Mwinyi Mkuu kutoka THT amefata nyanyo za D.Knob na wasanii kadhaa ambao
waliwahi kufuga ndoa za kimya kimya kwa Amini ndoa yake ilifungwa
Msikiti wa Ibazi uliopo Manzese baada ya swala ya saa 2 usiku,idadi ya
watu walioshuhudia ndoa hiyo hawakuzidi watu 20 na hiyo ni jumla ya
wazazi pamoja na wasindikizaji.Amini kafunga ndoa na msichana anaeitwa Farida Bashir au Namcy Vana ambaye sauti yake imesikika kwenye wimbo wa Kantangaze uliotoka miezi kadhaa iliyopita,Miaka kadhaa nyuma Amini amewahi kuripotiwa kuwa na uhusiano na msanii mwezake Linah.
MKE WA MTU SUMU,JAMAA AFUMANIWA AKIMLA URODA MKE WA JIRANI YAKE APEWA KIPIGO HADI

Mgoni, Nuru Makala ‘Baba Eliza’ (42) aliyefumaniwa akiwa na mke wa mtu
AMA kweli duniani kuna vituko! Mkazi wa Mtaa wa Lagos, Wazo Mivumoni, Msitu wa Pande jijini Dar es Salaam, Nuru Makala ‘Baba Eliza’ (42) Jumatano iliyopita alikumbwa na majanga baada ya mwanaume aliyejulikana kwa jina la Yusuf Ally ‘Mgosi wa Ndima’ kudai amemfumania Baba Eliza akiwa na mkewe ambaye jina halikupatikana.
Tafrani hiyo ilijiri usiku wa Jumatano iliyopita, Juni 18, mwaka huu kwenye nyumba yake iliyopo Mtaa wa Lagos, Msitu wa Pande.
Usiku wa tukio, Oparesheni Fichua Maovu ‘OFM’ ilikuwa katika harakati za kusaka matukio katika Jiji la Dar, ndipo ilipokumbana na kelele za watu waliokuwa wakijibizana.
Ilibidi OFM itie timu kwenye nyumba hiyo na kukutana na chanzo kimoja kilichodai kuwa baba mwenye nyumba hiyo anadai kumfumania jirani yake na mkewe kitandani.
Mke wa Bw. Yusuf Ally ‘Mgosi wa Ndima’ akiondolewa eneo la tukio.OFM YATINGA NDANI, YAKUTA MAKUBWA
OFM ilizama ndani ya nyumba hiyo na kukuta purukushani kali ikiendelea, Yusuf akiwa amepandwa na jazba ambapo katika kumkurupusha mgoni huyo alijigonga mahali na kuumia usoni.
SHILOLE KUVAA SHATI BILA NGUO ZA NDANI NA KUANIKA SEHEM ZA MAPAJA, MASHABIKI WADAI ANAJIUZA,JIONEE PICHAZ HAPA

So bad leo katika pitapita kwenye mitandao ya kijamii, makubwa haya tukabaini picha za kihasarahasra ambazo zimepigwa na staa
shilole nchni muscat, mashabik wakalalamika sana na kusema haiwezekani staa
shilole avae nguo fupi katika nchi ya waarab kama ile, Ukweli ni kwamba ni kweli nchi inatamaduni zake na sheria zake, bt ukweli ni kwamba picha hizo amezipiga
akiwa hotelini na kwenye kordo ya hotel, ila akiwa barabarani anatupia ushungi kama hivi.
shilole avae nguo fupi katika nchi ya waarab kama ile, Ukweli ni kwamba ni kweli nchi inatamaduni zake na sheria zake, bt ukweli ni kwamba picha hizo amezipiga
akiwa hotelini na kwenye kordo ya hotel, ila akiwa barabarani anatupia ushungi kama hivi.
Nazani mmejione wenyew.
Kwanini wanaume waoga kuoa wanawake waliosoma???
Umeshawahi kujua hili sababu nini??
Yaani ni sumu kwa makabila mengi sana wakisikia unaoa mwanamke
alie na elimu ama ya kukukaribia ama amekuzidi yaani n shida tupu
watakutajia matatizo yao na kuyalinganisha na hao waliosoma wengine
wanasema hawanaheshima wengine wanasema utaletewa mwenza nyumbani
je umewahi kuyakuta haya ndugu uliechukua chombo kilichoenda shule
zamani walikuwa wanadai ukiwa na aliesoma wengi wanashauri ukajenge
kwao na kuacha kujenga kwa mwanaume je hii ni kweli..ingawa ujenzi ni
swala lenu wawilialiitaji baba mkwe wala bibimkwe ila kwa wale wenye uzoefu
si vibaya ukaleta hali halisi ya ukweli aijalishi unalazwa nje ama unapewa unyumba
mara moja kwa wiki najua hili litakuja kuwa muwazi na wale wanaoishi kwenye
furaha ikiambatanishwa na kuheshimiana kusaidiana mnasemaje kwa hili??
Vigezo na masharti kuzingatiwa
TIZAMA PICHA ZA MASHINDANO YA KUPIGANA MABUSU
Ama kweli duniani kuna mambo na visa haviishi kila siku binadamu anabuni
wazo jipya pengine wazo linaweza kuwa lakijinga ila likawa kivutio kwa
wengi.. wazo hili ni hili la kuanda mashindano ya kupigana mabusu katika
style ya kipee..ilianzia china ikaenda mpaka thailand
wapenzi walioshinda walibusiana kwamuda wa masaa mawili na dakika 43.2 hours and 43 minutes
shindano hili hufanyika kila mwaka katika sikukuu za wapendanao yani Valentine's Day

kazimia huyu
sasa mwaka huu sindano hili likaletwa kwa style ya kipekee ambapo washiriki wote walitakiwa wavae nguo za harusini.
Jinsi ya Kumridhisha Mwanamke Kimapenzi: Mambo matano (5) anayohitaji Mwanamke kutoka kwa Mwanaume

Wanaume hatimaye kutambua kwamba hawapo peke yao kitandani na kwamba kumridhisha mwanamke ni muhimu katika kudumisha uhusiano wa kimapenzi! Kuchukua hii kutoka kwangu nawaambieni, haya mambo matano yakitekelezwa kwa ufasaha, yatafanya mwanamke wako achanganyikiwe zaidi kila saa!
- Wanataka uwe wa mwisho kumaliza: Kawaida wanawake huchelewa kutosheka kimapenzi zaidi ya wanaume, wastani wa dakika 8 zaidi wakati kikawaida wanaume wengi humaliza mapema hata kabla dakika 8 hazijafika!
- Anapenda umpe maandalizi ya kutosha: Mwanamke huhitaji mda huu kabla ya tendo ili kuamsha hisia zao na kulainisha uke wake vizuri tayari kwa kuingizwa! Asipopata mda mzuari wa maandalizi, tendo zima hugeuka kuwa la maumivu. Maandalizi mazuri pia ni njia nzuri ya kumsogeza kazibu na kilele.
- Kuchezea kinembe! Kinembe ni sehemu ambayo misisimko mingi kama sio yote, huanzia. Ukidharau kinembe basi kwa hakika inatosha kabisa kumfanya mwanamke asiridhike!
- Maongezi ya kingono: Anapenda sana! Anapata nyege sana anaposkia kuwa unatamani sana kumridhisha! Mwabie utamfanyia nini na utamfanyaje na kwamba lengo lako ni kumpa utamu usio semeka!
- Muulize ni kitu gani hasa anatamani umfanyie kitandani: Kila mtu ni tofauti inapokuja kwenye swala zima la ngono. Njia pekee ya uhakika ya kujua nini mwanamke anapenda kutoka kwako ni kumuuliza. Udadisi wako unaweza pia kumfanya akutamani zaidi.
Hauhitaji kuwa mtanashati ili kumridhisha mwanamke kimapenzi! Unahitaji udadisi kidogo na kujifunza zaidi
Kukojoa kwa mwanamke ndio kukoje
Kuhisi kutaka kukojoa-Sehemu kubwa ya wachangiaji wamefananisha au kulinganisha hisia za kutaka kufika kileleni na zile za kuhisi kutaka kukojoa. Hivi ni vitu viwili tofauti kabisa lakini kama wewe ni mwanamke ambae hujawahi ufika kileleni na hujui hisia za utamu wa ngono ni wazi kuwa utadhani hisia hizo za kutaka kukojoa (mkojo wa kawaida yaani empting your bladder) ndio kufika kileleni kwenyewe lakini sio.
Baadhi ya wanwake huwa wanahisi hisia hizo za kutaka kukojoa mara tu uume unapoingia na hapo ndio huwa wanadhani kuwa huo ndio utamu wa Ngono unaopatikana kwa kusuguliwa kipele G, vilevile wapo ambao wanapata hisia hizo tendo likiendelea kwamuda mrefu na kudhania sasa wanafikia mshindo na kuachi makojo (kwa kawaida).....hufurahia wakihisi "nafuu" lakini unapofika kileleni au kukojoa kutokana na utamu wa ngono husikii "relief" (nafuu) kama ile ya ku-empty bladder, unasikia utamu wa hali ya juu yaani unaweza kutamani mchezo uendee tena na tena na wakati huo huo utahisi uke wako ukimwenyua mwenyua yaani kama unafunga na kuachia(kama unavyokaza misuli ya uke) which huwezi kufanya hivyo unapokojoa.....
Kama umewahi kuchezewa kisimi kwa ulimi na mumeo au hata kujichua kunahisia fulani za utamu unazipata sasa hisia hizo za utamu unazaozipata pale kisimini ndio ambazo unapaswa kuzipata unapoingiliwa ukeni na mumeo lakini itakuwa tamu zaidi kama vile mara tatu ya utamu wa kisimini.
Utamu huu wa ngono hauelezeki na wala huwezi kuufananisha unless unauzoefu na utamu huo via kisimi ndio utaelewa jinsi ulivyo.....kuhisi kutaka kukojoa na hatimae kuachia mkojo sio kukojoa kwa maana ya kufika kileleni, vinginevyo wanawake wasingehitaji wanaume wa kuwatia na badala yake wangekuwa wakinywa maji mengi ili kubanwa mkojo na kukojoa ili kuhisi utamu wa ngono.
Unajua wakati mwingine ngono ya kuingiliana (uume ndani ya uke) huwa ina-irritates the bladder(kifuko cha mkojo) na kukufanya wewe uhisi kutaka kukojoa kila unapofanya ngono nitakushauri ukamuona"Gynecologist" ili kuhakikisha kuwa huna tatizo la kitibabu ambalo linaweza kabisa kuwa Saratani au inawezekana una tatizo linaitwa Orgasmic dysfunction kwamba hujawahi kupata Kilele kwa namna yeyote ile (kama nilivyosema awali) hivyo basi upata hisia za kutaka kukojoa na unaweza kufurahia hisia hizo ukidhani ndio unafika kileleni lakini sio kilele bali kibofu chako kimejaa au kimesumbuliwa na kusababisha hisia hizo.
Kwa wanaume huenda wakawa wanahisi kukojoa kama wanavyokojoa mkojo wa kawaida kwani inasemekana (nitahakiki hili) kuwa manii/shahawa zinapita kwenye mrija ule ule ambao mkojo wa kawaida unapita hivyo kwao kuhisi kukojoa kama kukojoa as ku-empty kifuko cha mkojo haina maana na wanawake wako hivyo, kwani kitundu cha mkojo kiko kwa nje katikati ya uke na kisimi(chini ya kisimi).
Hii huwafanya wanaume wengi kudhania kuwa hisia za utamu wa kilele ni kama kutaka kukojoa lakini ukweli (kutokana na uzoefu) ni kuwa utamu wa kutombwa hauelezeki na haufananishiki na kitu chochote sio asali wala sukari.....ila utaelewa kama unajua utamu wa kisimu alafu ongeza mara 3.....au utamu wa kunyonywa kichwa cha uume kwa ustadi sasa utamu huo uwe mara 5 ndio utamu wa kilele cha G-spot! Unaweza kuzimia.
Yule mwanamke wa Sudan aliyehukumiwa kifo kwa kukana dini yake,ameachiwa huru.

Kwa mujibu wa BBC, Mwanamke wa Sudan aliyehukumiwa kifo kwa kosa la kuikana imani ya dini yake na kuolewa na mwanaume anayempenda wa kikristu amechiwa kutoka gerezani.
Shirika la habari la Suna limeripoti kuwa, hukumu ya kifo iliyotolewa kwa mwanamke huyo Meriam Ibrahim ilibadilishwa na mahakama ya rufaa
Mwanamke huyo aliolewa na mwanaume wa kikristu na alihukumiwa kifo kwa kutumia sheria za kiislamu Sharia baada ya kukataa kurejea kwenye dini yake.
Mume wake amesema kuwa anatarajia kumuona mke wake akirejea nyumbani.
Aliwekwa gerezani tangu February mwaka huu akiwa na mtoto wake mdogo wa kiume aliyejifungua akiwa ndani.
Jumamosi, 14 Juni 2014
PEACOCK HOTEL YAWASHUKURU WAANDISHI WA HABARI KWA USHIRIKIANO
Mkuerugenzi
wa Hoteli ya Peacock ya jjini Dar es salaam Bw. Joseph Mlangila Mfugale
ambaye ni mwekezaji mzawa katika masuala ya utalii akizungumza wakati
wa hafla iliyoandaliwa na uongozi wa hoteli hiyo kwa waandishi wa habari
kwa ajili ya kuwashukuru kutokana na ushirikiano ambao umekuwepo kwa
muda mrefu na wanahabari, Mzee Mfugale amesema alianza na mtaji wa
shilingi 800 na hadi sasa amewekeza zaidi ya shilingi bilioni 40 katika
masuala ya hoteli na shughuli mbalimbali za kiutalii, Ameongeza kwa
uwashukuru wateja wa hoteli hiyo na kuwakaribisha sana ili waendelee
kutumia huduma za hoteli hiyo.
Meneja
Masoko wa Bodi ya Utalii TTB Bw. Geofrey Meena ambaye alikuwa ni mmoja
wa wageni waalikwa akizungumza na kuupongeza uongozi wa hoteli ya
Peacock kwa kazi nzuri wanayofanya katika kada ya Utalii.
Bw Damas Mfugale mmoja wa viongozi wa hoteli hiyo akitoa shukurani zake kwa wanahabari.
Baadhi
ya wafanyakazi wa hoteli hiyo wakimwimbia wimbo mwenzao Vemila Njau wa
pili kutoka kulia kusherehekea siku yake ya kuzaliwa ambayo iliambatana
na hafla hiyo.
Mfanyakazi
wa Hoteli hiyo Issabela Asenga akimkabidhi zawadi Vemilla Njau ikiwa ni
kumpongeza kwa kusherehekea siku yake ya kuzaliwa.
Vemilla
Njau akipuliza mishumaa kuzima mishumaa iliyowekwa kwenye keki yake
wakati akipongezwa na wafanyakazi wenzake kwa kusherehekea siku ya
kuzaliwa, aliyeshika keki ni Aisha Mwinjuma.
Vimella
Njau akimbusu mfanyakazi mwenzake Aisha Mwinjuma wakati alipokuwa
akipokea keki yake ya kusherekea siku yake ya kuzaliwa.
Baadhi ya wafanyakazi wa hoteli ya Peacock wakipozi kwa picha.
Dada
Davina Meneja Masoko wa hoteli ya Peacockwa pili kutoka kushoto akiwa
katika picha ya pamoja na wafanyakazi wenzake wakati wa hafla hiyo na
wanahabari.
Wadau kutoka TTB kutoka kulia ni Mr. Deo, Geofrey Meena na Philip Gwihava mtangazaji kutoka Clouds TV.
Baadhi ya wanahabari wakiwa katika hafla hiyo. Burudani kutoka kwa kundi la Wanne Star
Bw Damas Mfugale mmoja wa viongozi wa hoteli hiyo akitoa shukurani zake kwa wanahabari.
Baadhi
ya wafanyakazi wa hoteli hiyo wakimwimbia wimbo mwenzao Vemila Njau wa
pili kutoka kulia kusherehekea siku yake ya kuzaliwa ambayo iliambatana
na hafla hiyo.
Mfanyakazi
wa Hoteli hiyo Issabela Asenga akimkabidhi zawadi Vemilla Njau ikiwa ni
kumpongeza kwa kusherehekea siku yake ya kuzaliwa.
Vemilla
Njau akipuliza mishumaa kuzima mishumaa iliyowekwa kwenye keki yake
wakati akipongezwa na wafanyakazi wenzake kwa kusherehekea siku ya
kuzaliwa, aliyeshika keki ni Aisha Mwinjuma.
Vimella
Njau akimbusu mfanyakazi mwenzake Aisha Mwinjuma wakati alipokuwa
akipokea keki yake ya kusherekea siku yake ya kuzaliwa.
Baadhi ya wafanyakazi wa hoteli ya Peacock wakipozi kwa picha.
Dada
Davina Meneja Masoko wa hoteli ya Peacockwa pili kutoka kushoto akiwa
katika picha ya pamoja na wafanyakazi wenzake wakati wa hafla hiyo na
wanahabari.
Wadau kutoka TTB kutoka kulia ni Mr. Deo, Geofrey Meena na Philip Gwihava mtangazaji kutoka Clouds TV.
Baadhi ya wanahabari wakiwa katika hafla hiyo. Burudani kutoka kwa kundi la Wanne Star
Baadhi ya wageni mbalimbali waliohudhuria katika hafla hiyo.
Wanahabari wakikaribishwa kwa kinywaji baridi.
Wanahabari wakikaribishwa kwa kinywaji baridi.
Burudani ya muziki wa asili kutoka kwa Wanne Star.
Jisajili kwenye:
Maoni (Atom)























